Friday, May 29, 2026

KUBENEA AITOSA CHADEMA ,AJIUNGA ACT WAZALENDO

Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Ubungo jijini Dar as salaam kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA Bwana Said Kubenea ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT WAZALENDO.

SHARE.