Wachezaji wa Real Madrid wakiwa wamemuinua juu kocha wao, Mfaransa Zinedine Zidane baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Villarreal, mabao ya Karim Benzema dakika ya 29 akimalizia pasi ya Luka Modric na 77 kwa penalti Uwanja wa Alfredo Di Stéfano hivyo kutwaa taji la La Liga. Ushindi wa leo unaifanya Real Madrid ifikishe pointi 86 na kuwaacha mabingwa watetezi, Barcelona kwa pointi saba baada ya wote kucheza mechi 37 na hilo linakuwa taji la 34 la LaLiga kwa Real Madrid kihistoria na la pili kwa Zidane kama kocha PICHA ZAIDI SOMA HAPA
REAL MADRID YATWAA UBINGWA WA 34 LA LIGA BAADA YA KUIPIGA 2-0 VILLARREAL
By Alex Sonna
July 17, 2020 | 3:36 am

Related Stories
View all
Michezo
2 days ago
CHAMA AIPA YANGA SC PRESHA MBIO ZA UBINGWA
Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania…
Michezo
2 days ago
MASHUJAA KUISIMAMISHA SIMBA SC LEO ?
NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa michezo minne yenye ushindani mkubwa, huku vita ya kusaka pointi tatu…
