Mwandishi na Mtangazaji nguli na wa siku nyingi hapa nchini Angel Akilimali amejitosa kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuteuliwa kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Ukonga kwa tiketi ya CCM, katika Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Pichani, Angel ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM akionyesha fomu yake baada ya kuichukua leo, katika Ofisi ya CCM Wilaya ya Ilala, leo.
ANGEL AKILIMALI AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA UKONGA
By Alex Sonna
July 16, 2020 | 6:07 am

Related Stories
View all
Siasa
2 days ago
UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM ISIMANI WAZINDULIWA ITUNUNDU
NA DENIS MLOWE, IRINGA UZINDUZI wa kampeni za uchaguzi wa ubunge wa Jimbo la Isimani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) umefanyika katika Kijiji cha…
Siasa
2 days ago
RAIS RUTO AKUTANA NA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Ushirikiano kati ya…