Mwandishi na Mtangazaji nguli na wa siku nyingi hapa nchini Angel Akilimali amejitosa kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuteuliwa kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Ukonga kwa tiketi ya CCM, katika Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Pichani, Angel ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM akionyesha fomu yake baada ya kuichukua leo, katika Ofisi ya CCM Wilaya ya Ilala, leo.
ANGEL AKILIMALI AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA UKONGA
By Alex Sonna
July 16, 2020 | 6:07 am

Related Stories
View all
Siasa
14 hours ago
HOJA ZIJIBIWE KWA HOJA BADALA YA MASHAMBULIZI BINAFSI NA KUPINGA CHOCHOTE
Na John Buluku, Dar es Salaam Mojawapo ya mambo yanayopaswa kupewa nafasi katika mjadala wa kisiasa ni uwezo wa kusikiliza na kuchambua hoja kabla…
Siasa
2 days ago
RAIS DKT. SAMIA CHINI YA CCM AMEREJESHA UTULIVU, AMANI NA MSHIKAMANO WA TAIFA
Na John Bukuku, Dar es Salaam Baada ya matukio ya Oktoba 29 yaliyoibua mjadala mkubwa wa kisiasa na kijamii nchini, Serikali ya Chama Cha…