Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 45 na ushei kabla ya Kevin De Bruyne kufunga la pili dakika ya 51 kwa penalti na Phil Foden kufunga la tatu dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Arsenal usiku wa Jumatano Uwanja wa Etihad Jijini Manchester.
MAN CITY YAICHAPA 3-0 ARSENAL UWANJA WA ETIHAD
By Alex Sonna
June 18, 2020 | 4:17 am

Related Stories
View all
Michezo
10 hours ago
UJERUMANI YAIFUMUA CURACAO KWA KIPIGO CHA 7-1 KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Ujerumani imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Curacao katika mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la…
Michezo
13 hours ago
SIMBA SC YAENDELEZA MAKALI YAKE, YAICHAPA PAMBA JIJI 2-1
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mabao…
