Anthony Martial akiifungia bao la kusawazisha Manchester United dakika ya 36, kufuatia Emmanuel Dennis kuanza kuifungia Club Brugge dakika ya 15 katika sare ya 1-1 baina ya timu hizo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora michuano ya UEFA ya Europa League usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel Jijini Brugge, Ubelgiji. Timu hizo zitarudiana Februari 27 Manchester PICHA ZAIDI SOMA HAPA
MAN UNITED YATOA SARE 1-1 UGENINI EUROPA LEAGUE NA BRUGGE
By Alex Sonna
February 21, 2020 | 8:01 am

Related Stories
View all
Michezo
19 hours ago
KAMPENI YA TUMAINI YAFIKA ZANZIBAR, YAS YATOA VIFAA VYA UZAZI MWERA PONGWE
Zanzibar, Septemba 18, 2026 – Kampeni ya Tumaini ya Yas Tanzania imefika Zanzibar, ambapo kampuni hiyo imekabidhi vifaa vya uzazi katika Hospitali ya Wilaya…
Michezo
21 hours ago
WATHAMINI WAMUAGA MTHAMINI MKUU KWA JOGGING YA KILOMITA 5
Wathamini wamemuaga kwa heshima Mthamini Mkuu Bi. Eveline Mugasha kwa mbio maalumu (jogging) ya kilomita tano, ikiwa ni sehemu ya kumuenzi na kumpongeza baada…
