Anthony Martial akiifungia bao la kusawazisha Manchester United dakika ya 36, kufuatia Emmanuel Dennis kuanza kuifungia Club Brugge dakika ya 15 katika sare ya 1-1 baina ya timu hizo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora michuano ya UEFA ya Europa League usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel Jijini Brugge, Ubelgiji. Timu hizo zitarudiana Februari 27 Manchester PICHA ZAIDI SOMA HAPA
MAN UNITED YATOA SARE 1-1 UGENINI EUROPA LEAGUE NA BRUGGE
By Alex Sonna
February 21, 2020 | 8:01 am

Related Stories
View all
Michezo
15 hours ago
YANGA SC YAREJEA KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA
Mabigwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga Sc imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 ya dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo uliochezwa leo…
Michezo
2 days ago
USHINDI WA SIMBA SC DHIDI YA COASTAL UNION, WAONGEZA PRESHA KWA YANGA
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa…
