Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 81 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Olympiakos Piraeus usiku wa jana Uwanja wa Georgios Karaiskaki, Pireas nchini Ugiriki kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora UEFA Europa League. Timu hizo zitarudiana Februari 27 London PICHA ZAIDI SOMA HAPA
LACAZETTE AING’ARISHA ARSENAL UGENINI EUROPA LEAGUE YAICHAPA 1-0 OLYMPIACOS
By Alex Sonna
February 21, 2020 | 5:55 am

Related Stories
View all
Michezo
8 hours ago
JKT YAFUNGA MASHINDANO YA CNS CUP 2026, YASISITIZA NIDHAMU KUKUZA VIPAJI
Na.Sophia Kingimali. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefunga rasmi Mashindano ya Kombe la CNS Cup 2026 katika Kambi ya JKT Mgulani jijini Dar es…
Michezo
2 days ago
LIONEL MESSI AANDIKA HISTORIA MPYA YA KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Austria katika mchezo wake wa pili wa hatua ya makundi…
