Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 81 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Olympiakos Piraeus usiku wa jana Uwanja wa Georgios Karaiskaki, Pireas nchini Ugiriki kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora UEFA Europa League. Timu hizo zitarudiana Februari 27 London PICHA ZAIDI SOMA HAPA
LACAZETTE AING’ARISHA ARSENAL UGENINI EUROPA LEAGUE YAICHAPA 1-0 OLYMPIACOS
By Alex Sonna
February 21, 2020 | 5:55 am

Related Stories
View all
Michezo
12 hours ago
KOREA KUSINI YAICHAPA CZECHIA 2-1 KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Korea Kusini imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czechia katika mchezo wa Kundi A uliochezwa nchini Mexico.…
Michezo
21 hours ago
MEXICO YAIANZA KOMBE LA DUNIA KWA USHINDI WA MABAO 2-0 DHIDI YA AFRIKA KUSINI
Timu ya Taifa ya Mexico imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Timu ya Taifa ya Afrika Kusini katika mchezo wa ufunguzi…
