Mshambuliaji Leonel Messi akipongezwa na Arturo Vidal baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 59 na 89 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa Hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania usiku wa Alhamisi Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca inayotinga Robo Fainali sasa, yamefungwa na Antoine Griezmann dakika ya nne, Clement Lenglet dakika ya 27 na Arthur Melo dakika ya 77 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
BARCELONA YAICHAPA 5-0 LEGANES KOMBE LA MFALME
By Alex Sonna
January 31, 2020 | 3:57 am

Related Stories
View all
Michezo
7 hours ago
CHAMA AIPA YANGA SC PRESHA MBIO ZA UBINGWA
Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania…
Michezo
15 hours ago
MASHUJAA KUISIMAMISHA SIMBA SC LEO ?
NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa michezo minne yenye ushindani mkubwa, huku vita ya kusaka pointi tatu…
