Mshambuliaji Mmisri Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 90 na ushei kufuatia beki Mholanzi, Virgil Van Dijk kufunga la kwanza dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester United leo Uwanja wa Anfield hivyo kuendelea kuongoza ligi hiyo kwa pointi 16 zaidiĀ PICHA ZAIDI SOMA HAPA
SALAH AFUNGA BAO LA PILI LIVERPOOL YAICHAPA 2-0 MANCHESTER UNITED ANFIELD
By Alex Sonna
January 20, 2020 | 4:24 am

Related Stories
View all
Michezo
1 week ago
SIMBA SC YALAZIMISHWA SARE YA PILI MFULULIZO KAGAME CUP 2026
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wametoka sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya Jamus SSFC katika mchezo wa hatua ya makundi wa michuano ya…
Michezo
2 weeks ago
YAS YAZINDUA MSIMU WA SITA WA ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Dkt. Riziki Pembe Juma (katikati), akifurahia jambo na wadhamini na wadau wa Yas Zanzibar International Marathon…
