Klabu ya Yanga imeposti ujumbe wa kumkaribisha kocha Mbelgiji, Luc Aymael (kulia) aliyewahi kuzifundisha klabu za AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Missile ya Gabon, AFC Leopard ya Kenya, Rayon Sport ya Rwanda, JS Kairouan ya Tunisia, Al Nasr ya Dubai, Al Merreikh ya Sudan, Polokwane City, Free State Stars, Black Leopard za Afrika Kusini na Tala’ea El Gaish ya Misri kuashiria kwamba huyo ndiye kocha wake mpya.
YANGA SC YALETA KOCHA MPYA MBELGIJI
By Alex Sonna
January 9, 2020 | 8:36 am

Related Stories
View all
Michezo
1 week ago
SIMBA SC YALAZIMISHWA SARE YA PILI MFULULIZO KAGAME CUP 2026
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wametoka sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya Jamus SSFC katika mchezo wa hatua ya makundi wa michuano ya…
Michezo
2 weeks ago
YAS YAZINDUA MSIMU WA SITA WA ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Dkt. Riziki Pembe Juma (katikati), akifurahia jambo na wadhamini na wadau wa Yas Zanzibar International Marathon…
