Nahodha wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu dakika ya 69 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya West Ham United jana Uwanja wa London, huo ukiwa ushindi wa kwanza katika mechi 10 za Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal katika ushindi huo wa kwanza pia kwa Freddie Ljungberg tangu arithi mikoba ya Mfaransa, Unai Emery yalifungwa na Gabriel Martinelli dakika ya 60 na Nicolas Pepe dakika ya 66, wakati la West Ham lilifungwa na Angelo Ogbonna dakika ya 38 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
ARSENAL YAFUTA GUNDU,YAICHAPA 3-1 WEST HAM NA KUSHINDA MECHI YA KWANZA KATI YA 10
By Alex Sonna
December 10, 2019 | 10:08 am

Related Stories
View all
Michezo
2 days ago
betPawa YADHAMINI LIGI YA KIKAPU DAR ES SALAAM KWA SH. 588.9 MILIONI
Meneja wa Kanda ya Kusini na Mashariki ya Afrika wa betPawa, Bwalya Noah akizungumza wakati wa kusaini mkataba wa msimu wa wa 2026 wa…
Michezo
2 days ago
ARGENTINA NA ENGLAND KUMINYANA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Uswisi mabao 3-1 katika mchezo wa…
