Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 29 kwa penalti na 57 ikitoa sare ya 2-2 na Norwich City leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road. Mabao ya Norwich City Teemu Pukki dakika ya 21 na Todd Cantwell dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI SOMA HAPA
AUBAMEYANG APIGA MBILI ARSENAL YATOA SARE 2-2 NA NORWICH UGENINI
By Alex Sonna
December 2, 2019 | 3:28 am

Related Stories
View all
Michezo
23 hours ago
SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽
Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala Zakhem *Jumapili | 19 July 2026* Tunayo…
Michezo
2 days ago
ARGENTINA NA HISPANIA KUMINYANA FAINALI KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa England mabao 2-1 katika mchezo wa nusu fainali…
