Nahodha Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa mabao 3-1 na wenyeji, Levante katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Ciudad de Valencia. Mabao ya Levante yamefungwa na Jose Campana dakika ya 61, Borja Mayoral dakika ya 63 na Nemanja Radoja dakika ya 68, wakati la Barcelona limefungwa na Messi kwa penalti dakika ya 38 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
LEVANTE YAIZAMISHA 3-1 BARCELONA LA LIGA
By Alex Sonna
November 3, 2019 | 5:40 am

Related Stories
View all
Michezo
5 hours ago
MAREKANI YAANZA KWA KISHINDO KOMBE LA DUNIA, YAICHAPA PARAGUAY 4-1
Timu ya Taifa ya Marekani imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay…
Michezo
6 hours ago
CANADA YALAZIMISHWA SARE NYUMBANI
Timu ya Taifa ya Canada imeshindwa kutamba kwenye ardhi yake ya nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Bosnia katika mchezo…
