Son Heung-min akifurahia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 44 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Red Star Belgrade kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Spours yalifungwa na Harry Kane mawili pia dakika ya tisa na 72 na Erik Lamela dakika ya 57 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
TOTTENHAM HOTSPUR YAFUFUKA LIGI YA MABINGWA,YAICHAPA 5-0 RED STAR BELGRADE
By Alex Sonna
October 23, 2019 | 4:21 am

Related Stories
View all
Michezo
6 hours ago
YANGA SC YATWAA NGAO YA JAMII KWA USHINDI WA BAO 1-0 DHIDI YA SIMBA
Klabu ya Yanga SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba SC katika…
Michezo
13 hours ago
MHE. BALOZI OMAR: MBEYA INA FURSA KUBWA YA KUONGEZA MCHANGO WAKE KATIKA UCHUMI WA TAIFA
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya,…
