Mshambuliaji Muargentina, Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Juventus dakika za 77 na 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lokomotiv Moscow kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Lokomotiv Moscow lilifungwa na Aleksey Miranchuk dakika ya 30 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
DYBALA AING’ARISHA JUVENTUS APIGA MBILI YAITANDIKA 2-1 LOKOMOTIC MOSCOW
By Alex Sonna
October 23, 2019 | 4:24 am

Related Stories
View all
Michezo
13 hours ago
IVORY COAST YATINGA HATUA YA 32 BORA KWA KUICHAPA CURACAO 2-0
Mshambuliaji Nicolas Pepe aliiongoza Ivory Coast kutinga hatua ya 32 bora ya Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufunga mabao mawili katika…
Michezo
1 day ago
MBIO ZA SHUKRANI KWA MLIPAKODI KUELEKEA TUZO ZA RAIS KWA MLIPA KODI BORA NA MIAKA 30 YA TRA KUFANYIKA JUNI 27 2026.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawakaribisha walipakodi wote nchini kushiriki matembezi na mbio za Shukrani kwa Mlipakodi kuelekea Tuzo ya Rais kwa Mlipakodi bora…
