Mshambuliaji Muargentina, Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Juventus dakika za 77 na 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lokomotiv Moscow kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Lokomotiv Moscow lilifungwa na Aleksey Miranchuk dakika ya 30 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
DYBALA AING’ARISHA JUVENTUS APIGA MBILI YAITANDIKA 2-1 LOKOMOTIC MOSCOW
By Alex Sonna
October 23, 2019 | 4:24 am

Related Stories
View all
Michezo
5 hours ago
MAREKANI YAANZA KWA KISHINDO KOMBE LA DUNIA, YAICHAPA PARAGUAY 4-1
Timu ya Taifa ya Marekani imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay…
Michezo
6 hours ago
CANADA YALAZIMISHWA SARE NYUMBANI
Timu ya Taifa ya Canada imeshindwa kutamba kwenye ardhi yake ya nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Bosnia katika mchezo…
