Wachezaji wa Arsenal wakishangilia na mwenzao, Pierre-Emerick Aubameyang aliyewafungia bao la kusawazisha dakika ya 58 wakitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Manchester United iliyotangulia kwa bao la Scott McTominay dakika ya 45 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI SOMA HAPA
AUBAMEYANG AIKATALIA MAN UNITED,ARSENAL YAIBANA MBAVU UWANJA WA OLD TRAFFORD
By Alex Sonna
October 1, 2019 | 7:50 am

Related Stories
View all
Michezo
3 hours ago
MASHUJAA KUISIMAMISHA SIMBA SC LEO ?
NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa michezo minne yenye ushindani mkubwa, huku vita ya kusaka pointi tatu…
Michezo
17 hours ago
DODOMA JIJI YAVURUGA HESABU ZA YANGA MBIO UBINGWA
Kikosi cha Dodoma Jiji FC kimeibuka na ushindi mkubwa wa mabao 3-2 dhidi ya mabingwa watetezi Young Africans SC katika mchezo wa Ligi Kuu…
