Wachezaji wa Arsenal wakishangilia na mwenzao, Pierre-Emerick Aubameyang aliyewafungia bao la kusawazisha dakika ya 58 wakitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Manchester United iliyotangulia kwa bao la Scott McTominay dakika ya 45 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI SOMA HAPA
AUBAMEYANG AIKATALIA MAN UNITED,ARSENAL YAIBANA MBAVU UWANJA WA OLD TRAFFORD
By Alex Sonna
October 1, 2019 | 7:50 am

Related Stories
View all
Michezo
4 hours ago
SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽
Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala Zakhem *Jumapili | 19 July 2026* Tunayo…
Michezo
2 days ago
ARGENTINA NA HISPANIA KUMINYANA FAINALI KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa England mabao 2-1 katika mchezo wa nusu fainali…
