Wachezaji wa Arsenal wakishangilia na mwenzao, Pierre-Emerick Aubameyang aliyewafungia bao la kusawazisha dakika ya 58 wakitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Manchester United iliyotangulia kwa bao la Scott McTominay dakika ya 45 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI SOMA HAPA
AUBAMEYANG AIKATALIA MAN UNITED,ARSENAL YAIBANA MBAVU UWANJA WA OLD TRAFFORD
By Alex Sonna
October 1, 2019 | 7:50 am

Related Stories
View all
Michezo
16 hours ago
HISTORIA NA MAFANIKIO YA TANZANIA PRISONS SC YAWEKWA WAZI KWA MASHABIKI, JIJINI DODOMA
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Sehemu ya Huduma kwa wafungwa (OMS)Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Emmanuel Malisa,…
Michezo
17 hours ago
SIMBA SC YAWASHA ‘MOTO’ CRDB FEDERATION CUP
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa kuisaka tiketi ya kufuzu nusu…
