Pierre-Emerick Aubameyang (kushoto) akishangilia na Bukayo Saka baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 wa Arsenal dhidi ya wenyeji, Eintracht Frankfurt kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Commerzbank-Arena mjini Frankfurt. Saka alifunga bao la pili dakika ya 85 na Aubameyang la tatu dakika ya 87 baada ya Joe Willock kufunga la kwanza dakika ya 38 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
ARSENAL YANG’ARA UGENINI YAICHAPA 3-0 EINTRACHT FRANKFURT EUROPA LEAGUE
By Alex Sonna
September 20, 2019 | 9:53 am

Related Stories
View all
Michezo
7 hours ago
YANGA SC YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO LA CRDB
Mabingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB, Young Africans S.C. wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya kombe hilo baada ya kuichapa JKT Tanzania…
Michezo
2 days ago
CHAMA AIPA YANGA SC PRESHA MBIO ZA UBINGWA
Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania…
