Kipa David de Gea akisaini mkataba mpya wa muda mrefu kuendelea kutumika Manchester United hadi mwaka 2023 kwa mshahara wa Pauni 375,000 kwa wiki wenye kipengele cha kuongezwa mwaka mmoja. Hadi sasa, kipa huyo wa kimataifa wa Hispania amewadakia Mashetani hao Wekundu mechi 367 tangu ajiunge nao mwaka 2011 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
DE GEA ASAINI MKATABA MPYA WA HADI 2023 MANCHESTER UNITED
By Alex Sonna
September 17, 2019 | 1:38 pm

Related Stories
View all
Michezo
1 day ago
HISTORIA NA MAFANIKIO YA TANZANIA PRISONS SC YAWEKWA WAZI KWA MASHABIKI, JIJINI DODOMA
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Sehemu ya Huduma kwa wafungwa (OMS)Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Emmanuel Malisa,…
Michezo
1 day ago
SIMBA SC YAWASHA ‘MOTO’ CRDB FEDERATION CUP
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa kuisaka tiketi ya kufuzu nusu…
