Mshambuliaji Sadio Mane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Burnley leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor huo ukiwa ushindi wa 13 mfululizo kwenye ligi hiyo. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Chris Wood aliyejifunga dakika ya 33 akijaribu kuokoa krosi ya Trent Alexander-Arnold na Roberto Firmino dakika ya 80 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
LIVERPOOL MWENDO WA USHINDI EPL YAICHAPA 3-0 BURNLEY
By Alex Sonna
September 1, 2019 | 4:12 am

Related Stories
View all
Michezo
11 hours ago
KOREA KUSINI YAICHAPA CZECHIA 2-1 KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Korea Kusini imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czechia katika mchezo wa Kundi A uliochezwa nchini Mexico.…
Michezo
21 hours ago
MEXICO YAIANZA KOMBE LA DUNIA KWA USHINDI WA MABAO 2-0 DHIDI YA AFRIKA KUSINI
Timu ya Taifa ya Mexico imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Timu ya Taifa ya Afrika Kusini katika mchezo wa ufunguzi…
