WAZIRI MKUU: MAONESHO YA SADC NI FURSA PEKEE KWA WATANZANIA
By Alex Sonna
August 6, 2019 | 1:54 pm

Related Stories
View all
Mchanganyiko
20 minutes ago
OPERESHENI PWANI YATIKISA WAHALIFU, MIRUNGI KILO 800 NA BANGI ZAKAMATWA
RPC MORCASE: PWANI SI NJIA YA MKATO, WATAKAMATWA Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mei 10, 2026 JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limetoa onyo kali…
Mchanganyiko
3 hours ago
WANANCHI WAIPONGEZA HOSPITALI YA LITEMBO KUTOA HUDUMA BORA ZA AFYA
cha no 656 na 654 Mkuu wa kitengo cha upasuaji katika Hospitali ya mialinga, ameiomba Serikali Iboreshe barabara ya Mbinga ……….. Na Mwandishi Wetu,…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa George Lous Chuwa kuhusu bidhaa mbalimbali wakati alipotembelea banda la Sekretarieti ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) katika Maonyesho ya Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Viwanda kwa Nchi za SADC kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Agosti 6, 2019. Wapili kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi.



