Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia afya Dkt. Dorothy Gwajima akisisitiza jambo wakati akiwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua utoaji wa huduma katika Vituo vya kutolea huduma za afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Mkoani Morogoro.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia afya Dkt. Dorothy Gwajima akiongea na watumishi wakati akiwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua utoaji wa huduma katika Vituo vya kutolea huduma za afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Mkoani Morogoro
