Washirika wa maendeleo wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji Serikalini. Katikati waliokaa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Emmanuel Kalobelo; kulia kwake ni Ofisa Mradi kutoka AFD, Katell Rivolet na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Jijini Mwanza (MWAUWASA), Mhandisi Anthony Sanga na kushoto kwake ni Mkuu wa Msafara wa AFD, Claire Fargeaudou na Mratibu mradi kutoka EIB, Raoul Pedrazzani.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Emmanuel Kalobelo akisisitiza jambo wakati wa majadiliano ya utekelezaji wa miradi ya maji ya LV WATSAN. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Jijini Mwanza (MWAUWASA), Mhandisi Anthony Sanga na Naibu Mkurugenzi, Idara ya Usambazaji Maji wa Wizara ya Maji, Mhandisi William Christian.


Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Jijini Mwanza (MWAUWASA), Mhandisi Anthony Sanga akizungumza jambo wakati wa mkutano. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Emmanuel Kalobelo. Kushoto kwake ni Naibu Mkurugenzi, Idara ya Usambazaji Maji wa Wizara ya Maji, Mhandisi William Christian.

