KATIBU Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu
Hassan Nyange akizungumza wakati wa Siku ya Mtoto wa Afrika
iliyofanyika kiwilaya Kata ya Pangani
Mashariki iliyokwenda sambamba na uzinduzi wa Mpango kazi wa Taifa wa
kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (Mtakuwwa) wilayani
Pangani ambapo Halmashauri wa wilaya hiyo ilishirikiana na Shirika la
Uzikwasa
|
AFISA Maendeleoya Jamii wilaya ya Pangani Elias Msuya akizungumza wakati wa siku yaMtoto wa Afrika |
|
Mwanafunzi wa shule ya Msingi Funguni Aisha Allyakisoma risala |
|
Mkuu wa Polisiwilaya ya Pangani (OCD) Georgina Matagi akizungumza na vikundimbalimbali |
|
Sehemu yawananchi kutoka maeneo mbalimbali wakifuatilia matukio |