

MAMA aliyejifungua watoto mapacha wanne Radhia Solomon (24) mkazi wa Chemchemi Magomeni jijini Dar es Salaam na kutelekezwa na mmewe kwa madai ya kukwepa majukumu leo Juni 3, 2019 amewasili bungeni jijini Dodoma ambapo bunge limeridhia kila mbunge wa kiume kumchangia Sh. 100,000 na kila mbunge wa kike kumchangia Sh. 50,000 fedha ambazo zitatumika kumsaidia kujikimu na kuwatunza watoto hao hivyo kufanya jumla ya Tsh milioni 32,050,000.
Sign in to your account
