Nguzo ya Katikati ya ya Makutano ya Barabara ya Morogoro ,Samunujoma na Mandela ikiwa tayari imesimama kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa barabara za juu ambazo zitasaidia kupunguza msongamano katika jiji la Dar es Salaam.
Sehemu ya Nguzo za upande wa pili ya barabara ya Mandela pamoja na mitambo ya ujenzi yakionekana katika picha .
Wafanyakazi wa kampuni ya Ujenzi ya China Civil Inayojenga barabara za juu katika Makutano ya Ubungo
Na Happy Lazaro, Arusha Jiji la Arusha limeendelea kuandika historia kwa kuvunja rekodi ya usajili wa Vikundi vya Ununuzi wa Umma (PPRA) nchini, hatua…
Na. Veronica Mwafisi-Kaliua Tarehe 10 Julai, 2026 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete…