Nguzo ya Katikati ya ya Makutano ya Barabara ya Morogoro ,Samunujoma na Mandela ikiwa tayari imesimama kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa barabara za juu ambazo zitasaidia kupunguza msongamano katika jiji la Dar es Salaam.
Sehemu ya Nguzo za upande wa pili ya barabara ya Mandela pamoja na mitambo ya ujenzi yakionekana katika picha .
Wafanyakazi wa kampuni ya Ujenzi ya China Civil Inayojenga barabara za juu katika Makutano ya Ubungo
NA DENIS MLOWE IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga, ameendelea kuonyesha dhamira yake ya kusimamia maendeleo ya wananchi kwa kuibana Serikali kuhusu…