TAARIFA KWA UMMA

WAFUATAO SIO WATUMISHI WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini, linatoa taarifa kwa umma kuwa, wafuatao kwenye picha hapo chini sio Watumishi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

Jeshi halitahusika ama kutambua shughuli zozote zitakazofanywa na watajwa hapo chini.

Tunawashukuru Wananchi kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa kwa Jeshi, pia linawataka Wananchi kutoa taarifa haraka kwa Jeshi pindi wanapotilia shaka mtu yeyote anayejihusisha na kazi za Ukaguzi wa Kinga na Tahadhari Dhidi ya moto.

                                                     

 

 

 

 

NOELY J. BYAMUNGU                 ABDUL S. MPONDOMOKA                              RAHIM M. PAZI

 

 

                                                      

 

 

  

 

 

 

 

 

           DUNCAN  MWAKAJINGA                  HASHIM KAPAMBA

JOSEPH CHALE

                                                       

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

        AHMED A. NASSORO                            WESTON A. KAZIYALELE

 

Imetolewa na;

 

Ofisi ya Habari, Mawasiliano, Uhusiano na Elimu kwa Umma

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji – Makao Makuu

19 Mei, 2019

 

www.frf.go.tz      www.twitter.com/tanzimamoto      www.instagram.com/zimamoto_uokoaji      www.facebook.com/frf.tz