Saturday, June 13, 2026

Mchanganyiko

Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.

56572 Stories
MILIONI 636 KUTATUA KERO YA MAJI SAFI NA SALAMA KWA WANANCHI WA KATA YA TEMBELA MBEYA VIJIJINI

MILIONI 636 KUTATUA KERO YA MAJI SAFI NA SALAMA KWA WANANCHI WA KATA YA TEMBELA MBEYA VIJIJINI

Kaimu meneja wa Ruwasa wilaya ya Mbeya mkoani Mbeya  Mwachembe Mjeni aliyein ma,akiwaonyesha wajumbe wa kamati ya ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Simambwe kata ya Tembela baadhi ya miundombinu iliyojengwa katika mradi huo.  Mhandisi wa maji kutoka ofisi ya meneja wa wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa) Felix Msangi kulia,akizungumza na wajumbe  wa kamati ya ujenzi wa mradi wa maji wa Simambwe na baadhi ya wananchi wa kijiji hicho baada ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wake. Tenki la kuhifadhi lita 250,000 za maji litakalohudumia vijiji vinne kikiwemo kijiji cha Simambwe Halmashauri…

8 WAFARIKA KATIKA AJALI NJOMBE ,12 WANUSURIKA

8 WAFARIKA KATIKA AJALI NJOMBE ,12 WANUSURIKA

NJOMBE Watu Sita wamefariki dunia na wengine Kumi na Mmoja kujeruhiwa katika ajali ya gari ya abiria Toyota Haisi lenye namba za usajili T733…