TIB YAWATAKA WADAU WA KILIMO KUCHANGAMKIA FURSA ZA MIKOPO
Kaimu Mkurigenzi wa Benki ya TIB akizungumzia malengo ya Benki hiyo na mikakati yake wakati alipokuwa akifafanua mambo mbalimbali katika kikaokazi katika ya Ofisi…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
Kaimu Mkurigenzi wa Benki ya TIB akizungumzia malengo ya Benki hiyo na mikakati yake wakati alipokuwa akifafanua mambo mbalimbali katika kikaokazi katika ya Ofisi…
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa akiagalia ramani…
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Lukata kata ya inyala wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, wakipata huduma ya maji katika moja ya vituo vya kuchotea maji vilivyojengwa kupitia mradi wa maji Lukata uliotekelezwa kwa gharama ya Sh.milioni 357,391,000. Mwenyekiti wa kiiji cha Lukata kata ya Kinyala wilayani Mbeya Uswege Mwakyusa kushoto,akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa kijiji hicho Ikupa Songela katika moja ya vituo vya kuchotea maji vilivyojengwa katika kijiji hicho. Baadhi ya viongozi wa kijiji cha Lukata na kata Kinyala wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya wakiwa katika picha ya pamoja na kaimu meneja wa Ruwasa mkoa wa Mbeya Mhandisi Felix Msangi wa tatu kutoka kushoto mstari wa nyuma. ……….. Na Muhidin Amri, Rungwe…
Afisa habari Wakala wa Chakula Dawa na Vipodozi ZFDA Zuwena Makame akitoa elimu kwa wanafunzi wa Skuli ya kinyasini juu ya umuhimu wa kutumia…
Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ameipa mwezi mmoja Kampuni ya Beijing Construction Engeneering Group ikamilishe kazi…
NA Shamimu Nyaki Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amelielekeza Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kubuni vyanzo vipya vya…
Maelefu kutoka ndani na nje ya nchi wameguswa na historia ya Sister Gracia Mligo aliyeishinda vita ya shinikizo la ndoa ya utotoni pamoja na…
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bi. Lucy Kabemera akipokea Kombe kutoka kwa naodha wa Timu ya pete ya…
Waziri wa Maendeleo ya Jamii ,Jinsia ,Wazee na Watoto Mhe. Riziki Pembe Juma akikata utepe kuashiria uzinduzi wa CD ya Tungo njema wakati wa…
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Profesa Makame Mbarawa (katikati) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi na Maendeleo ya Miundombinu Nchini Zimbabwe Mhe. Mha. Joy…