Mchanganyiko
June 12, 2024
Naibu Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Juma Makungu Juma wakati akizindua mfuko wa uwekezaji wa pamoja (Timiza Fund) huko golden…
By Alex Sonna
Mchanganyiko
June 12, 2024
Afisa mhifadhi wa shirika la kimataifa la uhifadhi mazingira(WWF)Deo Kilasara kulia,akikabidhi kwa Mkuu wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Simon Chacha,box lenye mabomu baridi yaliyotengenezwa kwa kutumia pilipili yanayotumika kufukuza wanyama wakali hususani Tembo wanaovamia makazi ya binadamu wilayani humo. Mkuu wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Simon Chacha kushoto,akimsikiliza afisa maliasili wa wilaya hiyo Dunia Almasi kuhusu matukio ya wanyama wakali na waharibifu wanaovamia makazi ya binadamu baada ya kupokea msaada wa vifaa mbalimbali vikiwemo mabomu kwa ajili ya kufukuza wanyama wanatoka hifadhini na kwenda kwenye makazi ya watu. Na Mwandishi Maalum,Tunduru SHIRIKA la Kimataifa la uhifadhi mazingira Duniani(WWF),limekabidhi vifaa mbalimbali kwa Serikali ya wilaya Tunduru na Namtumbo vitakavyosaidia katika kudhibiti wanyama wakali na waharibifu…
By Alex Sonna
Mchanganyiko
June 12, 2024
Na Mwandishi Wetu, Mbeya WAKULIMA wa mazao ya nafaka wilayani Chunya mkoani wa Mbeya wameiomba serikali kuwajengea maghala ya kuhifadhia mazao ili kuepuka uuzaji…
By John Bukuku
Mchanganyiko
June 12, 2024
*Lengo ni kujihakikishia umeme wa kutosha na uhakika *Dkt. Biteko akutana na wadau wa chemba ya wafanyabiashara wa Ujerumani na wadau wa nishati *Aiomba…
By John Bukuku
Mchanganyiko
June 12, 2024
Na Mwandishi wetu, Mirerani Kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Heroes Mining Camp imetoa msaada wa…
By Alex Sonna
Mchanganyiko
June 12, 2024
Tayari Viongozi, Watumishi na wageni mbalimbali wamewasili kushuhudia Hafla ya Uzinduzi wa Timu ya kuandaa Vision 2030 inayofanyika leo Juni 12, 2024 Jijini Dodoma.…
By John Bukuku
Mchanganyiko
June 12, 2024
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme amesema ajenda ya kutumia nishati safi ya kupikia ni uchumi kwani inaokoa…
By Alex Sonna
Mchanganyiko
June 12, 2024
Na John Walter -Manyara Kazi ya Jeshi la polisi ni kulinda raia na na mali zake, lakini Kamanda wa polisi mkoa wa Manyara, SACP…
By Alex Sonna
Mchanganyiko
June 12, 2024
Na Mwandishi wetu, Mirerani WACHIMBAJI madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wametakiwa kusaidia jamii inayowazunguka (CSR) ili kutimiza takwa…
By Alex Sonna