fullshangwe
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
MWAFRIKA MERINYO: BIMA YA PENZI YATUA SINZA AFRIKA SANA
Katika mitaa ya Sinza jijini Dar es Salaam , hasa pale Mwenge Afrika Sana, kuna jina linalotambulika kwa wengi Mwafrika Merinyo. Mwanamume huyu maarufu,…
TANZANIA YAZUIA TANI 216 ZA KEMIKALI HATARI ZA OZONI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema Tanzania imefanikiwa kuzuia tani 216 sawa na asilimia…
RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA WANANCHI KUWA KITOVU CHA MAENDELEO: WAZIRI DKT. GWAJIMA
Na WMJJWM-TARIME MARA Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa…
HESLB YATOA SIKU SABA KUSAHIHISHA MAOMBI YA MIKOPO
Na: Mwandishi Wetu, Dodoma. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa siku saba kwa waombaji mikopo ya wanafunzi kufanya masahihisho…
NAMNA NILIVYOPONA MAGONJWA YA ZINAA!
Nikiri kuwa katika maisha yangu sikuwa mwaminifu katika suala zima la mahusiano ya kimapenzi, nilikuwa na wapenzi zaidi ya watatu kwa wakati mmoja, hiyo…
SIMBA LA MIKEKA YA KUBASHIRI LEONBET YAINGIA RASMI TANZANIA
Wafanyakazi wa kampuni ya LEONBET Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja. ………………. Dar es Salaam. Kampuni mpya ya kimataifa ya michezo ya kubashiri ya…
WAZIRI MAVUNDE AYATAKA MAKAMPUNI YA MAKAA YA MAWE KUWEKEZA KATIKA UZALISHAJI WA UMEME
*Aipongeza Ruvuma kwa kuvuka lengo la Ukusanyaji Mapato kwa asilimia 112 miezi miwili ya kwanza Mwaka 2024/ *Apongeza uwekezaji mkubwa uliofanyika kwenye uzalishaji wa…
MBUNGE IDDI AWAASA UWT KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WANACHAMA WA CCM
Mbunge wa Jimbo la Msalala, Mheshimiwa Iddi Kassim Iddi, amewataka wanawake wa Jumuiya ya Wanawake wa Kijiji cha Kakola, Kata ya Bulyanhulu, kujitokeza kwa…