RAIS TRAORÉ KUTUA DAR ES SALAAM: NI KATIKA MKUTANO WA “AFRICA ENERGY SUMMIT”
DAR ES SALAAM Rais wa mpito wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traoré, ni miongoni mwa marais 25 watakaoshiriki mkutano mkubwa wa nishati utakaofanyika jijini…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
DAR ES SALAAM Rais wa mpito wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traoré, ni miongoni mwa marais 25 watakaoshiriki mkutano mkubwa wa nishati utakaofanyika jijini…
Na WAF, Biharamulo, Kagera. Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Uongozi wa Wilaya ya Biharamulo Mkoa wa Kagera leo Januari 23, 2025 wametoa elimu…
Waziri Afya Mhe. Jenista Mhagama leo Januari 23,2025 amekutana na uongozi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya huduma za Afya ya nchini Korea na kuuelezea…
Shirika la Posta Tanzania limeanzisha huduma mpya iitwayo Swifpack, inayolenga kuchukua vifurushi na abiria kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa urahisi kupitia simu janja.…
Na Farida Mangube Jumuiya ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUASO) imepongeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kuandaa Sera…
Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe Januari 23, 2025 akiwa katika Kituo cha Operesheni ya Matukio ya Dharura ya Afya ya Jamii (EOC)…
Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia, na Habari, Jerry Silaa, amesema kuwa serikali imekamilisha ujenzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano unaounganisha Tanzania na Kenya kupitia…
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wassira, akizungumza na viongozi pamoja na wanaCCM waliojitokeza kumpokea katika Ofisi za Makao Makuu…
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungwa…
Na John Walter -Singida Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora George Simbachawene amesema Serikali itaendelea kuhakikisha…