Arsenal imefanikiwa kutinga hatua ya 32 Bora michuano ya Europa League baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Molde FK, mabao ya Nicolas Pepe dakika ya 50, Reiss Nelson dakika ya 55 na Folarin Balogun dakika ya 83 usiku wa jana Uwanja wa Aker Stadion, Molde. Arsenal inafikisha pointi 12 baada ya ushindi huo kufuatia kucheza mechi nne na kuendelea kuongoza Kundi B kwa pointi sita zaidi ya Molde na Rapid Wien, huku Dundalk, timu nyingine kundini ikiwa haina pointi PICHA ZAIDI SOMA HAPA
ARSENAL YAICHAPA 3-0 MOLDE FK NA KUTINGA 32 BORA EUROPA LEAGUE
By Alex Sonna
November 27, 2020 | 6:57 am

Related Stories
View all
Michezo
20 hours ago
TRA DODOMA YAADHIMISHA MIAKA 30 KWA MATEMBEZI YA HISANI, BONANZA
DODOMA, 27 Juni 2026 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imefanya Matembezi ya Hisani pamoja na Bonanza la Michezo ikiwa ni sehemu…
Michezo
1 day ago
SENEGAL YAFUFUA MATUMAINI YA KUTINGA HATUA YA 32 BORA KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Senegal imefufua matumaini ya kutinga hatua ya 32 Bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Iraq mabao 5-0…
