Kukua kwenye nyumba yenye ugomvi wa kila mara si jambo rahisi. Kwa miaka mingi nilikuwa nikiona wazazi wangu wakibishana karibu kila wiki. Mwanzoni nilidhani ni mambo ya kawaida ya ndoa ambayo hupita baada ya muda. Lakini kadri nilivyokuwa nikikua, nilianza kuona hali ile ilikuwa kubwa zaidi kuliko nilivyofikiria.

Kulikuwa na kipindi nyumba yetu ilikosa amani kabisa. Baba yangu alikuwa mtu wa kimya sana, huku mama yangu akiwa mwenye huzuni mara nyingi. Wakati mwingine walikuwa hawazungumzi kwa siku kadhaa…… SOMA ZAIDI