Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma kwa mwaliko maalum wa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mnyaa Mbarawa ili kuweza kushuhudia uwasilishwaji wa hotuba ya bajeti ya Uchukuzi ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2026/2027.

SGR KWENYE BAJETI YA UCHUKUZI BUNGENI
