Nahodha wa Manchester City, Vincent Kompany akiwa ameinua Kombe la FA baada ya ushindi wa 6-0 dhidi ya Watford leo mabao ya Raheem Sterling matatu dakika za 38, 81 na 87, David Silva dakika ya 26, Kevin De Bruyne dakika ya 61 na Gabriel Jesus dakika ya 68 kwenye mchezo wa fainali Uwanja wa Wembley mjini London hilo likiwa taji la tatu msimu huu baada ya ubingwa wa Ligi Kuu England na Kombe la Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MAN CITY YAICHAPA 6-0 WATFORD NA KUTWAA TAJI LA TATU ENGLAND
By Alex Sonna
May 19, 2019 | 8:30 am

Related Stories
View all
Michezo
2 days ago
SIMBA SC YAVUNA POINTI 3 MBELE YA SINGIDA
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameibuka na ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara…
Michezo
2 days ago
MHE.SILLO: MANYARA TANZANITE MARATHON YALENGA KUOKOA MAISHA YA WATOTO NJITI
Mbio za Hisani za Manyara Tanzanite Marathon zimefanyika leo mkoani Manyara, zikihudhuriwa na watu mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya nchi pamoja na viongozi mbalimbali,…
