Nahodha Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa mabao 3-1 na wenyeji, Levante katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Ciudad de Valencia. Mabao ya Levante yamefungwa na Jose Campana dakika ya 61, Borja Mayoral dakika ya 63 na Nemanja Radoja dakika ya 68, wakati la Barcelona limefungwa na Messi kwa penalti dakika ya 38 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
LEVANTE YAIZAMISHA 3-1 BARCELONA LA LIGA
By Alex Sonna
November 3, 2019 | 5:40 am

Related Stories
View all
Michezo
1 day ago
LIONEL MESSI AANDIKA HISTORIA MPYA YA KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Austria katika mchezo wake wa pili wa hatua ya makundi…
Michezo
2 days ago
YANGA SC YASALIMU AMRI MBELE YA AZAM FC
Matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Yanga SC katika mchezo wa nusu…
