Muargentina Angel Di Maria (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Paris Saint-Germain mabao mawili dakika za 14 na 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Madrid jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Bao lingine la PSG lilifungwa na Thomas Meunier dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI SOMA HAPA
PSG YAICHAPA 3-0 REAL MADRID ‘DI MARIA APIGA BAO MBILI’
By Alex Sonna
September 19, 2019 | 6:52 am

Related Stories
View all
Michezo
17 minutes ago
MESSI ANAONGOZA MBIO ZA WAFUNGAJI BORA KOMBE LA DUNIA 2026
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ameendelea kuongoza orodha ya wafungaji bora katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kufikisha…
Michezo
21 hours ago
TRA DODOMA YAADHIMISHA MIAKA 30 KWA MATEMBEZI YA HISANI, BONANZA
DODOMA, 27 Juni 2026 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imefanya Matembezi ya Hisani pamoja na Bonanza la Michezo ikiwa ni sehemu…
