
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi (kulia) akitoa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Uviko – 19 na maelekezo ya Chanjo zinazoendelea kutolewa kukabiliana na janga hilo katika Ukumbi wa Msekwa leo Bungeni Jijini Dodoma, Agosti 17, 2021

Spika wa Bunge, Job Ndugai akifuatilia mafunzo yaliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi (hayupo pichani) kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Uviko – 19 na maelekezo ya Chanjo zinazoendelea kutolewa kukabiliana na janga hilo katika Ukumbi wa Msekwa leo Bungeni Jijini Dodoma, Agosti 17, 2021

Waheshimiwa Wabunge wakifuatilia mafunzo yaliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi (hayupo kwenye picha) kuhusu Uviko – 19 na maelekezo ya Chanjo zinazoendelea kutolewa kukabiliana na janga hilo katika Ukumbi wa Msekwa leo Bungeni Jijini Dodoma, Agosti 17, 2021, Mafunzo hayo yalihudhuliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai, Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson na Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi
Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mgaya akiuliza swali kwa ajili ya kupatiwa ufafanuzi katika mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Uviko – 19 na maelekezo ya Chanjo zinazoendelea kutolewa kukabiliana na janga hilo yaliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi (hayupo kwenye picha) katika Ukumbi wa Msekwa leo Bungeni Jijini Dodoma, Agosti 17, 2021, Mafunzo hayo yalihudhuliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai, Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson na Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi

Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi akifuatilia mafunzo yaliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi (hayupo pichani) kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Uviko – 19 na maelekezo ya Chanjo zinazoendelea kutolewa kukabiliana na janga hilo katika Ukumbi wa Msekwa leo Bungeni Jijini Dodoma, Agosti 17, 2021

Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson akifuatilia mafunzo yaliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi (hayupo pichani) kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Uviko – 19 na maelekezo ya Chanjo zinazoendelea kutolewa kukabiliana na janga hilo katika Ukumbi wa Msekwa leo Bungeni Jijini Dodoma, Agosti 17, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Profesa Mohamed Janabi (kulia) akitoa mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Uviko – 19 na maelekezo ya Chanjo zinazoendelea kutolewa kukabiliana na janga hilo katika Ukumbi wa Msekwa leo Bungeni Jijini Dodoma, Agosti 17, 2021 katikati ni Spika wa Bunge, Job Ndugai na Mbunge wa Maswa Mashariki, Stanslaus Nyongo



