NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana ametunga bao la pili katika ushindi wa 3-1 wa Fenerbahce dhidi ya Ankaragucu kwenye mchezo wa nyumbani wa Ligi Kuu ya Uturuki.
SAMATTA APIGA LA PILI FENERBAHCE YAICHAPA 3-1 ANKARUGUCU LIGI YA UTURUKI
By Alex Sonna
January 19, 2021 | 6:28 am

Related Stories
View all
Michezo
6 hours ago
MAKONDA: TUTAZIFANYA MBIO ZA SIKU YA AFRIKA KUWA ZA KIMATAIFA
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, amesema Serikali inafikiria kuzifanya Mbio za Siku ya Afrika kuwa za Kimataifa ili kufanikisha…
Michezo
23 hours ago
YANGA SC YAREJEA KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA
Mabigwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga Sc imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 ya dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo uliochezwa leo…
