Kiongozi mstaafu wa @ACTwazalendo, Ndugu @zittokabwe akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Bangwe Jimbo la Kigoma Mjini, Mei 04, 2025 ikiwa ni saa chache baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini.

ZITTO KABWE AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA KATA YA BANGWE KIGOMA MJINI
