Friday, June 19, 2026

2023

Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.

10671 Stories
MWILI WA JAJI DKT. UTAMWA KUZIKWA JUMAMOSI

MWILI WA JAJI DKT. UTAMWA KUZIKWA JUMAMOSI

Na Mary Gwera, Mahakama Mwili wa aliyekuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania-Kanda ya Iringa, Mhe. Dkt. John Utamwa unatarajiwa kuzikwa Siku ya…

RAIS SAMIA ARUHUSU MIKUTANO YA HADHARA

RAIS SAMIA ARUHUSU MIKUTANO YA HADHARA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi wa Vyama vya Siasa nchini mara baada ya kuitisha kikao…

MBUNGE ATOA MSAADA WA MAGODOLO GEREZA LA LIWALE

MBUNGE ATOA MSAADA WA MAGODOLO GEREZA LA LIWALE

Mkuu wa Gereza la Liwale, David Mkobya (wa kwanza kushoto) akipokea msaada wa magodoro 20 kutoka kwa Mbunge wa Liwale, Zuberi Kuchauka leo Januari…

JAMII IMETAKIWA KUWATHAMINI WATOTO YATIMA

JAMII IMETAKIWA KUWATHAMINI WATOTO YATIMA

Sheikh wa Mkoa wa Mwanza Hassan Kabeke akizungumza kwenye hafla ya chakula cha mchana na watoto yatima iliyofanyika kwa hisani ya Rock Solutions.  …

WAKAZI WA KIJIJI CHA NYALAILEMBO MKOANI MBEYA WAANZA KULA MATUNDA YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA,RUWASA YATUMIA SHILINGI MILIONI 482KUKAMILISHA UJENZI WA MRADI WA MAJI

WAKAZI WA KIJIJI CHA NYALAILEMBO MKOANI MBEYA WAANZA KULA MATUNDA YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA,RUWASA YATUMIA SHILINGI MILIONI 482KUKAMILISHA UJENZI WA MRADI WA MAJI

Tenki lenye uwezo wa kuhifadhi lita 90,000 za maji lililoanza kuhudumia wakazi wa kijiji cha Nyalailembo wilyani Mbeya. Msimamizi wa ujenzi wa mradi wa maji Shizuvi Halmashauri ya Mbeya Mhandisi Felix Msangi,akiwaonesha baadhi ya wakazi wa kijiji cha Nyalailembo tenki la maji lililojengwa kupitia fedha za mpango wa maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uvico-19. Afisa Utumishi wa wakala wa maji  na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa)mkoa wa Mbeya Emile Mpasi kulia,akizungumza na baadhi ya wazee wa kijiji chaNyalailembo wilayani Mbeya baada ya kukabidhi rasmi mradi wa maji wa Shizuvi utakaohudumia zaidi ya wakazi 2,474 wa kijiji hicho. Baadhi ya akina mama wa kijiji cha Nyalailembo Halmashauri ya wilaya Mbeya mkoani Mbeya wakichota maji katika moja ya vituo vya kuchotea maji kilichojengwa kupitia mradi wa maji wa Shizuvi. Msimamizi wa mradi wa maji wa Shizuvi Mhandisi Felix Msangi kulia na Afisa Utumishi wa Ruwasa mkoa wa Mbeya Emile Mpasi katikati,wakimtua ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha Nyalailembo kata ya Shizuvi wilayani Mbeya Jane Mwashibanda. Baadhi ya akina mama wa kijiji cha Nyalailembo kata ya Shizuvi wilayani Mbeya,wakimsikiliza afisa utumishi wa Ruwasa mkoa wa Mbeya Emile Mpasi kulia baada ya kutembelea mradi wa maji Shizuvi uliotekelezw na Ruwasa kwa gharama ya Sh,milioni 482,kushoto ni msimamizi wa mradi huo Mhandisi Felix Msangi. ……………………….. Na Muhidin Amri,Mbeya UJENZI wa mradi wa maji Shizuvi kijiji cha NyalaIlembo Halmashauri ya wilaya Mbeya mkoani Mbeya uliotekelezwa na wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa),umekamilika kwa asilimia  100 na hivyo kumaliza kabisa kero ya  upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama…