VINARA, Yanga SC wamepunguzwa kasi baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na wenyeji, Mbeya City Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Kikosi cha Mbeya City kilikuwa; Haroun Mandanda, Kenneth Kunambi, Mpoki Mwakinyuki, David Mwasa, Babilas Chitembe, Edgar Mbembela, Pastory Athanas, Mathew Robert, Jean Didier/Abasarim Chidiebere dk88, Hamisi Thabit/Herbet Lukindo dk76 na Kato Yayo/Juma Shamvuni dk59.
Yanga SC; Metacha Mnata, Kibwana Shomari, Yassin Mustapha, Lamine Moro, Bakari Mwamnyeto, Mukoko Tonombe, Tuisila Kisinda, Feisal Salum, Michael Sarpong, Fiston Abdul Razak/Ditram Nchimbi dk74 na Farid Mussa/Deus Kaseke dk67.

