Arsenal imefanikiwa kutinga hatua ya 32 Bora michuano ya Europa League baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Molde FK, mabao ya Nicolas Pepe dakika ya 50, Reiss Nelson dakika ya 55 na Folarin Balogun dakika ya 83 usiku wa jana Uwanja wa Aker Stadion, Molde. Arsenal inafikisha pointi 12 baada ya ushindi huo kufuatia kucheza mechi nne na kuendelea kuongoza Kundi B kwa pointi sita zaidi ya Molde na Rapid Wien, huku Dundalk, timu nyingine kundini ikiwa haina pointi PICHA ZAIDI SOMA HAPA
ARSENAL YAICHAPA 3-0 MOLDE FK NA KUTINGA 32 BORA EUROPA LEAGUE
By Alex Sonna
November 27, 2020 | 6:57 am

Related Stories
View all
Michezo
12 hours ago
DC NDEMANGA: MAZOEZI SILAHA DHIDI YA MAGONJWA
Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo Agosti 14, 2026 MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, amewasihi wananchi kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara, akisema…
Michezo
2 days ago
TASWA KUZINDUA KAMPENI YA ‘AFCON KITAA 2027’ KUELEKEA FAINALI ZA AFRIKA
Dar es Salaam, Agosti 13, 2026 CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimetangaza rasmi kuanzisha kampeni maalum inayojulikana kama ‘AFCON Kitaa…
