Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 65 kufuatia Federico Fernandez kujifunga dakika ya 10 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St James’ Park. Ushindi unaipeleka The Blues kileleni japo kwa saa kadhaa, ikifikisha pointi 18 sawa na Leicester City PICHA ZAIDI SOMA HAPA
CHELSEA YAIZAMISHA 2-0 NEWCASTLE UNITED EPL
By Alex Sonna
November 21, 2020 | 7:46 pm

Related Stories
View all
Michezo
3 days ago
RAIS SAMIA ATOA NDEGE YA KUWACHUKUA MASHUJAA SERENGETI BOYS WALIOFIKA FAINALI YA AFCON U-17
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa usafiri wa ndege kwa ajili ya kuwachukua mashujaa wa Timu ya…
Michezo
1 week ago
SERENGETI BOYS YATIKISA AFRIKA, YATINGA FAINALI YA AFCON U-17
Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Vijana ya Tanzania, Serengeti Boys, imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika…
