1024×768
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
/* Style Definitions */
table.MsoNormalTable
{mso-style-name:”Table Normal”;
mso-tstyle-rowband-size:0;
mso-tstyle-colband-size:0;
mso-style-noshow:yes;
mso-style-priority:99;
mso-style-qformat:yes;
mso-style-parent:””;
mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;
mso-para-margin:0in;
mso-para-margin-bottom:.0001pt;
mso-pagination:widow-orphan;
font-size:11.0pt;
font-family:”Calibri”,”sans-serif”;
mso-ascii-font-family:Calibri;
mso-ascii-theme-font:minor-latin;
mso-fareast-font-family:”Times New Roman”;
mso-fareast-theme-font:minor-fareast;
mso-hansi-font-family:Calibri;
mso-hansi-theme-font:minor-latin;
mso-bidi-font-family:”Times New Roman”;
mso-bidi-theme-font:minor-bidi;}
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt Rehema Nchimbi
(aliyeshika kisemeo) akiongoza mkutano
wa wadau wa elimu wa mkoa huo, kulia kwake ni Katibu Tawala wa Mkoa wa
Singida Dkt. Angelina Lutambi,
anayefuata ni Afisa Elimu Mkoa wa Singida Mwalimu Nelasi Aron Mulungu
1024×768
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
/* Style Definitions */
table.MsoNormalTable
{mso-style-name:”Table Normal”;
mso-tstyle-rowband-size:0;
mso-tstyle-colband-size:0;
mso-style-noshow:yes;
mso-style-priority:99;
mso-style-qformat:yes;
mso-style-parent:””;
mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;
mso-para-margin:0in;
mso-para-margin-bottom:.0001pt;
mso-pagination:widow-orphan;
font-size:11.0pt;
font-family:”Calibri”,”sans-serif”;
mso-ascii-font-family:Calibri;
mso-ascii-theme-font:minor-latin;
mso-fareast-font-family:”Times New Roman”;
mso-fareast-theme-font:minor-fareast;
mso-hansi-font-family:Calibri;
mso-hansi-theme-font:minor-latin;
mso-bidi-font-family:”Times New Roman”;
mso-bidi-theme-font:minor-bidi;}
Wanafunzi ambao ni wasichana rika ndani shule za msingi katika kijiji cha Nkwae
katika Wilaya ya Singida DC wakisubiri
kupokea fedha jumla ya shilingi kwa
ajili ya mahitaji ya kishule ili kuepuka
vishawishi vinavyowafanya
washindwe kufanya vizuri kwenye
masomo yao kushoto ni Julius Nusu Kaimu Mratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF Wilaya ya
Singida akitoa maelekezo kwa wazee na wanafunzi
Uchina” ni maneno aliyoyasema leo Mkuu
wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi katika kikao kazi cha wadau wote wa elimu kwenye Mkoa wa Singida kutafakari ufaulu wa wanafunzi kwenye Shule
za Msingi na Sekondari ambapo amesema mkakati wa mwaka 2020 ni kwamba Mkoa wa wake lazima uwe
miongoni mwa kumi bora.
Mulungu kwa matokeo ya mitihani ya mwaka
2019 Mkoa ulishika nafasi ya 22 kitaifa kwa Shule za Msingi na nafasi ya 21 kwa Kidato cha Nne na nafasi ya
2 kwa mitihani ya Kidato cha Sita.
kuwa kama Singida unaweza kushika
nafasi ya pili kitaifa katika matokeo ya
kidato cha sita 2019 pia unaweza kushishika nafasi ya kwanza katika mitihani yote kinachotakiwa ni
kutafakari na kuweka mkakati wa pamoja
kwa wadau wote.
shule za msingi hadi vyuo vikuu vya
ndani na nje ya nchi alitumia muda mwingi kutoa maneno kutoka
katika vitabu vitakatifu vya mungu vya Quran na biblia akisisitiza kuwa vitabu hivyo vyote vimesisitiza
kuitafuta kwa bidii elimu ambapo
alisema wadau wa elimu wanapaswa kutafakari kwa kina
ni kwa nini elimu imeendelea kushuka katika mkoa huo wakati wao wana
wajibu na kwamba kutowafaulisha watoto
ni dhambi kubwa.
moyo wangu uchina katika dunia hii ni Singida watu wanatakiwa
kutoka mataifa yote kuja kutafuta elimu hapa kwetu na watu wa kuifanya iwe Uchina ni nyie”alisisitiza Dkt Nchimbi
wa kikao wa kuanza kusoma taarifa za maendeleo ya elimu na badala yake akaelekeza kuanza
na ajenda ya kila mshiriki kueleza
nini kifanyike ili kuboresha ufaulu wa wananfunzi.
kile alichokiita dhambi ya baadhi ya
walimu kutotekeleza wajibu wa kutoa elimu
kwa kijituma Mungu amekuwa akiwaadhibu na kujikuta wanapata matatizo
makubwa ya kiuchumi na kijamii.
watoto kwa bidii unakuta waingia mikopo kwa wakopeshaji haramu ambao wana wakopesha milioni tatu wanalipa
milioni ishirini na ATM kadi zao zinachukuliwa na hao matapeli” aliongeza Dkt.
Nchimbi.
kuwakopesha walimu ambapo aliwaelekeza
wakuu wote wa wilaya kwenye Mkoa wa Singida kuanzisha operesheni maalum ya
kuwasaka wakopeshaji haramu na kuwachukulia hatua kali za kisheria.
video kuwaingiza wanafunzi na kutaka Kamati
za Ulinzi na Usalama za kila wilaya kuwakamata
wenye vibanda ambapo alisema hakuna yeyote anayevunja sheria
atakayepona na kwamba wazazi wanafunzi wanaoshinda kwenye mabanda hayo
watafuatiliwa kikamilifu ili pia sheria ichukue mkondo wake kwa kuwa nao ni wadau wakuu katika kuhakikisha
kuwa watoto wao wanahudhuria masomo kikamilifu..
michezo ya kamali katika
nyumba za starehe ambapo
alisema nyumba ziutakazobainika zikiwaingiza wanafunzi
zitachukuliwa hatua ikiwa ni pamoja na kufungiwa biashara hizo.
Mulungu kipaumbele cha Mkoa ni kuongeza
ufaulu katika mitihani yote, kuboresha miundombinu, kupambana na utoro,
kuongeza samani na kuboresha ufundishaji katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kwa Mujibu wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 1995 kila shule ya
msingi ni lazima iwe na darasa la awali.
za Serikali na shule 30 za awali zisizo za Serikali.
kati ya hizo shule 536 ni za Serikali na shule 33 ni za Watu
binafsi, Taasisi na Mashirika ya Dini.
Kwa shule za msingi hali halisi ya mahitaji ya Walimu Kimkoa ni 9,885
ikilinganishwa na waliopo 5,292 sawa na asilimia 53.5. Upungufu
wa Walimu wa shule za msingi ni 4,593.
umekuwa ukiongezeka sambamba na idadi ya wanafunzi kwa kila Halmashauri hivyo
kwa mwaka 2017 wanafunzi waliofaulu ni 17,863, mwaka 2018 ni 20,617 na mwaka
2019 ni 22,484.
awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Joseph Magufuli imetoa zaidi ya bilioni
50 katika eneo la elimu pekee na kwamba fedha hizo ni nje ya mishahara ya walimu.
na wadau wote wa elimu wanapaswa
kushirikiana ili kuinua kiwango
cha ufaulu kwa kuwa Serikali tayari imeshatekeleza wajibu wake wa kuwawezesha
kwa kiasi kikubwa.
kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni watumishi wa Serikali kuunga mkono juhudi hizi
kwa vitendo.
Ongeza ufaulu” ndiyo mwongozo na dira
katika Sekta ya Elimu kwenye Mkoa wa Singida hivyo bila kutimiza wajibu
wa kila mdau nhakutakuwa na ufaulu wowote
na kuwataka walimu kusimamia viapo vyao.