Mabondia Deontay Wilder (kulia) na Tyson Fury wakitambiana wakati wa mkutano wao wa kwanza na Wasandishi wa Habari mapema leo ukumbi wa Novo Theatre Jijini Los Angeles kuelekea pambano lao marudiano Februari 22 ukumbi wa MGM Grand Jijini Las Vegas, Marekani baada ya kutoka droo kwenye pambano la kwanza miezi 13 iliyopita nchini humo PICHA ZAIDI SOMA HAPA
FURY NA WILDER WALIVYOTAMBIANA KUELEKEA PAMBANO LA MARUDIANO
By Alex Sonna
January 15, 2020 | 6:09 am

Related Stories
View all
Michezo
2 days ago
SIMBA SC YAVUNA POINTI 3 MBELE YA SINGIDA
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameibuka na ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara…
Michezo
2 days ago
MHE.SILLO: MANYARA TANZANITE MARATHON YALENGA KUOKOA MAISHA YA WATOTO NJITI
Mbio za Hisani za Manyara Tanzanite Marathon zimefanyika leo mkoani Manyara, zikihudhuriwa na watu mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya nchi pamoja na viongozi mbalimbali,…
