Mabondia Deontay Wilder (kulia) na Tyson Fury wakitambiana wakati wa mkutano wao wa kwanza na Wasandishi wa Habari mapema leo ukumbi wa Novo Theatre Jijini Los Angeles kuelekea pambano lao marudiano Februari 22 ukumbi wa MGM Grand Jijini Las Vegas, Marekani baada ya kutoka droo kwenye pambano la kwanza miezi 13 iliyopita nchini humo PICHA ZAIDI SOMA HAPA
FURY NA WILDER WALIVYOTAMBIANA KUELEKEA PAMBANO LA MARUDIANO
By Alex Sonna
January 15, 2020 | 6:09 am

Related Stories
View all
Michezo
23 hours ago
YANGA YAIONDOA SIMBA SC KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa…
Michezo
2 days ago
SIMBA SC YAREJESHA MATUMAINI YA UBINGWA LIGI KUU NBC
Wekundu wa Msimbazi Simba SC imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara…
