Tyrone Mings akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Aston Villa bao la kusawazisha dakika ya 66 ikitoa sare ya 2-2 na wenyeji, Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza la Aston Villa limefungwa na Jack Grealish dakika ya 11, wakati mabao ya Man United yamefungwa na Tom Heaton aliyejifunga dakika ya 42 na Victor Lindelof dakika ya 64 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
MANCHESTER UNITED YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA ASTON VILLA OLD TRAFFORD
By Alex Sonna
December 2, 2019 | 3:30 am

Related Stories
View all
Michezo
7 hours ago
betPawa YADHAMINI LIGI YA KIKAPU DAR ES SALAAM KWA SH. 588.9 MILIONI
Meneja wa Kanda ya Kusini na Mashariki ya Afrika wa betPawa, Bwalya Noah akizungumza wakati wa kusaini mkataba wa msimu wa wa 2026 wa…
Michezo
15 hours ago
ARGENTINA NA ENGLAND KUMINYANA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Uswisi mabao 3-1 katika mchezo wa…
