Wachezaji wa Arsenal, Calum Chambers, David Luiz na Sokratis Papastathopoulos wakiwa wanyonge baada ya kuruhusu bao la Lys Mousset dakika ya 30 wakifungwa 1-0 na wenyeji, Sheffield United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Bramall Lane mjini Sheffield PICHA ZAIDI SOMA HAPA
SHEFFIELD YAICHAPA 1-0 ARSENAL MECHI YA LIGI UINGEREZA
By Alex Sonna
October 22, 2019 | 3:29 am

Related Stories
View all
Michezo
9 hours ago
DC NDEMANGA: MAZOEZI SILAHA DHIDI YA MAGONJWA
Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo Agosti 14, 2026 MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, amewasihi wananchi kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara, akisema…
Michezo
2 days ago
TASWA KUZINDUA KAMPENI YA ‘AFCON KITAA 2027’ KUELEKEA FAINALI ZA AFRIKA
Dar es Salaam, Agosti 13, 2026 CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimetangaza rasmi kuanzisha kampeni maalum inayojulikana kama ‘AFCON Kitaa…
