Wachezaji wa Uholanzi wakipongezan baada ya ushindi mzuri wa ugenini wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Volkspark mjini Hamburg katika mchezo wa Kundi C kufuzu Euro ya mwakani. Mabao ya Uholanzi yalifungwa na Frenkie de Jong dakika ya 59, Jonathan Tah aliyejifunga dakika ya 66, Donyell Malen dakika ya 79 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei, wakati ya Ujerumani yalifungwa na Serge Gnabry dakika ya tisa na Toni Kroos kwa penalti dakika ya 73 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
UHOLANZI YAICHAPA 4-2 UJERUMANI PALE PALE HUMBURG KUFUZU EURO 2020
By Alex Sonna
September 7, 2019 | 2:56 am

Related Stories
View all
Michezo
24 hours ago
betPawa YADHAMINI LIGI YA KIKAPU DAR ES SALAAM KWA SH. 588.9 MILIONI
Meneja wa Kanda ya Kusini na Mashariki ya Afrika wa betPawa, Bwalya Noah akizungumza wakati wa kusaini mkataba wa msimu wa wa 2026 wa…
Michezo
1 day ago
ARGENTINA NA ENGLAND KUMINYANA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Uswisi mabao 3-1 katika mchezo wa…
