Wachezaji wa Uholanzi wakipongezan baada ya ushindi mzuri wa ugenini wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Volkspark mjini Hamburg katika mchezo wa Kundi C kufuzu Euro ya mwakani. Mabao ya Uholanzi yalifungwa na Frenkie de Jong dakika ya 59, Jonathan Tah aliyejifunga dakika ya 66, Donyell Malen dakika ya 79 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei, wakati ya Ujerumani yalifungwa na Serge Gnabry dakika ya tisa na Toni Kroos kwa penalti dakika ya 73 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
UHOLANZI YAICHAPA 4-2 UJERUMANI PALE PALE HUMBURG KUFUZU EURO 2020
By Alex Sonna
September 7, 2019 | 2:56 am

Related Stories
View all
Michezo
1 hour ago
HISPANIA YAITOA UBELGIJI, YATINGA NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Ubelgiji mabao 2-1 katika mchezo…
Michezo
18 hours ago
TAMASHA LA CLEMENT MZIZE WASHIKE MKONO MSIMU WA 1 KUFANYIKA UWANJA WA SAMORA JULAI 12 MWAKA HUU – MAPATO KUSAIDIA WENYE MAHITAJI IRINGA
NA DENIS MLOWE, IRINGA MCHEZAJI wa Yanga SC na Timu ya Taifa ya Tanzania, Clement Mzize, ametangaza rasmi kufanyika kwa tamasha la hisani la…
