Gareth Bale (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kusawazisha dakika ya 86 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Villarreal kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa De la Ceramica. Hata hivyo nyota huyo wa Wales alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 90 na ushei baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano katika mchezo ambao alifunga pia bao la kwanza la Real huku mabao ya Villarreal yakifungwa na Gerard Moreno dakika ya 12 na Moi Gomez dakika ya 74 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
BALE ATUPIA MBILI, APIGWA KADI NYEKUNDU REAL MADRID YABANWA 2-2 NA VILLARREAL
By Alex Sonna
September 2, 2019 | 8:11 am

Related Stories
View all
Michezo
10 hours ago
YANGA YAIONDOA SIMBA SC KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa…
Michezo
1 day ago
SIMBA SC YAREJESHA MATUMAINI YA UBINGWA LIGI KUU NBC
Wekundu wa Msimbazi Simba SC imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara…
